Jonas Musa

Thursday, December 13, 2012

NAMELESS AVAMIWA NA VIBAKA

Msanii Nameless wa Kenya mwishoni mwa wiki hii amevamiwa na kundi la wezi huko Dandora nchini Kenya wakati akiingia katika gari lake akitokea club. Garini mwake iPod pamoja na laptop vilisalimika baada ya baunsa mmoja kuingilia. Watu hao walifanikiwa kumwibia katoni ya bia za kopo tu na kutokomea nayo gizani baada ya baunsa mmoja wa eneo hilo kujitokeza kumuokoa msanii huyu.

Posted by Unknown at 5:13 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Total Pageviews

Blog Archive

"Asiyefanya kazi na asile so vijana tufanye kazi"

Unknown
View my complete profile

MOST TOPIC

  • TUNDAMAN ALIZWA MILIONI 7 NA "JIMAMA" WAKIWA FARAGHA
    MSANII Tundaman baada ya kumcheka mwenzake Matonya na kumuimba kwenye wimbo wake kuwa alifungiwa ndani na mwanamke na kulizwa shilingi mil...
  • LADY JAYDEE ATEMA CHECHE KWA WABAYA WAKE...
    Wanasema ‘No Research No Right to Speak’ hivyo ingawa tunaweza kuwa tunahisi dongo hili linawaendea akina nani, hatuwezi kutaja jina ambal...

HOME

  • HOME
  • HABARI
  • HABARI ZILIZOPO
  • HABARI ZA NJE
  • MICHEZO
  • LOVE STORY
  • PICHA ZA NGONO TZ
  • MAGAZETI
By GK. Picture Window theme. Powered by Blogger.