Wednesday, December 19, 2012

Picha: Nyumba mpya ya Rihanna aliyonunua kwa dola milioni 12

Rihanna amemwaga dola milioni 12 kununua mjengo mpya.

Muimbaji huyo wa ‘Diamonds’amenunua nyumba hiyo iliyopo huko Pacific Palisades jijini Los Angeles na kuamua kutweet jinsi alivyoipenda nyumba hiyo.








No comments:

Post a Comment